Mhe. Hemed Suleiman ameagiza Kutatuliwa kwa changamoto mbali mbali ndani ya Jiji la Zanzibar.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ameuagiza uongozi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba Maendeleo na Makaazi na Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ kukaa pamoja kwa lengo la kuzitatua changamoto mbali mbali ndani ya Jiji la Zanzibar. Mhe. Hemed alitoa agizo hilo